mchezaji huru kutoka Niger, Garba amesaini Mkataba wa mwaka mmoja, wenye kipengele cha kuongezewa mwaka mmoja, iwapo atafanya vizuri.

Winga wa zamani wa Club Africain na ES Hammam-Sousse za Tunisia, Garba aliyezaliwa mji wa Niamey, mwenye urefu wa futi 5 na inchi 6, kisoka alianzia klabu ya AS FAN ya kwao mwaka 2010, kabla ya kuhamia Thailand ambako alichezea klabu za Muangthong United mwaka 2011 na Phuket.

Lowassa kuanza ziara ya Nchi nzima Kesho
Waamuzi 18 Watajwa Kwa Ajili Ya EURO 2016