Mshike mshike wa ligi ya mabingwa barani Ulaya hatua ya makundi uliendelea tena usiku wa kuamkia hii leo, ambapo miamba 16 ilishuka katika viwanja vinane tofauti kusaka point tatu muhimu za mzunguuko wa nne.

Michezo ya michuano hiyo kwa usiku wa kuamkia hii leo ilihusisha kundi la tano hadi la nane.

Matokeo:

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – KUNDI E

Monaco 3-0 CSKA       Full

Tottenham 0-1 Bayer Levkn

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – KUNDI F

Bor Dortmd 1-0 Sporting

Legia War 3-3 Real Madrid

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – KUNDI G

FC Copenhagen 0-0 Leicester

FC Porto 1-0 Club Brugge

UEFA CHAMPIONS LEAGUE – KUNDI H

Juventus1-1 Lyon

Sevilla 4-0 Dinamo Zagreb

Jose Mourinho Ahukumiwa, Kukaa Jukwaani Liberty Stadium
Exclusive: Serikali yaeleza sababu ya 'kuhakiki' vyeti vya ndoa