Ndege ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka Jumapili asubuhi.

Ofisi ya waziri Mkuu wa Ethiopia, Abey Ahmed imetoa taarifa ikitoa rambirambi kwa familia za walio wapoteza wapendwa wao katika jali hiyo.

Kampuni hiyo ya ndege imesema kuwa taari fa zaidi kuhusu ajali hiyo zitatolewa muda sio mrefu,

Kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia Dar24 Media

Ndege ya Ethiopia yaanguka ikiwa na watu 157
Aliyekuwa mwanasheria wa R. Kelly amkaanga, ‘alifanya’