Tukiwa tumebakiza siku takribani 11 kuikamilisha hesabu ya siku zinazounda mwaka 2016, tujikumbushe baadhi ya matukio ya michezo katika picha yaliyotengeneza mshangao au kuwaacha watu midomo wazi.

Zlatan Ibrahimović alivyomshangaza mpiga picha, akishangilia kuifungia Sweden goli dhidi ya Jamhuri ya reland katika kombe la Ulaya (UEFA Euro-2016)

Zlatan Ibrahimović alivyomshangaza mpiga picha, akishangilia kuifungia Sweden goli dhidi ya Jamhuri ya reland katika kombe la Ulaya (UEFA Euro-2016)

 Meneja wa Leicester City, Claudio Ranieri alipopatwa na mshangao kwenye mkutano na waandishi wa habari


Meneja wa Leicester City, Claudio Ranieri alipopatwa na mshangao kwenye mkutano na waandishi wa habari

Shabiki wa Burnley akijipa raha baada ya timu yake kuichapa goli Charlton Athletic

Shabiki wa Burnley akijipa raha baada ya timu yake kuichapa goli Charlton Athletic

kungfu

Zlatan Ibrahimović

kuusaka ushindi olympic sio mchezo

kuusaka ushindi olympic sio mchezo

Miwani ya Kocha Jürgen Klopp iliposhindwa kuvumilia mtikisiko wa uso wakati Liverpool ikiminyana na Leicester City, Ligi Kuu

Miwani ya Kocha Jürgen Klopp iliposhindwa kuvumilia mtikisiko wa uso wakati Liverpool ikiminyana na Leicester City, Ligi Kuu

Manchester United Vs Arsenal

Manchester United Vs Arsenal, Kocha Van Gaal akaweka historia katika picha

Bondia Dillan Whyte alivyopotezwa.jpg

Bondia Dillan Whyte alivyopotezwa.jpg

Mpambe ana nguvu kuliko mwenye mali hii ni bonus ya 2015, Cristiano Ronaldo akisalimiana na Mke wa Lionel Messi, lakini Neymar hana amani

Mpambe ana nguvu kuliko mwenye mali hii ni bonus ya 2015, Cristiano Ronaldo akisalimiana na Mke wa Lionel Messi, lakini Neymar hana amani

Serikali yawapa 'ahueni' waliodaiwa kujenga kwenye makazi holela
Video: Mwakyembe avutiwa na kasi ya utendaji wa Makonda