Katika ibada ya Muslim Janazah iliyochukuwa zaidi ya saa moja, Mabondia na watu mashuhuri katika mchezo wa ngumi walihudhuria.

Zaidi ya watu 14,000 walijitokeza katika hafla ya kumuaga Bondia Mohamed Ali katika ukumbi wa Kentucky Hall, ambapo pia familia yake ilihudhuria.

Wake zake, watoto wake na wajukuu wake wote walikuwepo kwenye maombi haya. Mke wa kwanza wa Ali  Sonji Roi alifariki mwaka 2005, Mke wa pili wa Ali Khalilah Camacho-Ali, Mke wa tatu wa Ali, Veronica Porche-Ali walikuwepo.

 

 

 

 

Video: Sungura Kamtie Moto |Chege Feat.Kalakala & Gift
Gozi Hili Kuanza Kupigwa Hii Leo Nchini Ufaransa