Mshambuliaji wa klabu bingwa nchini Hispania FC Barcelona Luis Suarez, ameonyesha kipaji tofauti akiwa katika mazoezi ya timu ya taifa lake la Uruguay ambayo inajiandaa na mchezo kuwania kufuzu kucheza fainali za kombe la dunia dhidi ya Colombia.

Suarez alichukua jukumu la kukaa langoni mwa sehemu moja ya timu ya Colombia ilipokua ikifanya mazoezi na wakati mwingine alionyesha kuwa na utani mwingi dhidi ya wachezaji wenzake.

Mshambuliaji huyo mara nyingi amekua akicheza katika nafasi tofauti anapokua mazoezini lakini kitendo cha kukaa langoni, kimeonyesha kuwashughulisha waandishi wa habari waliokua wamefika kwenye mzoezi ya leo ya kikosi cha Uruguay.

Suarez000_H12L4Uruguay's football team players Luis Suarez (R) and Diego Godin (L) take part in a training session in Barranquilla, Colombia on October 10, 2016 on the eve of a Russia 2018 FIFA World Cup qualifier match against Colombia. / AFP PHOTO / Raul Arboleda

 

Jurgen Klopp Aendelea Kupokea Taarifa Za Majanga
Waziri Mkuu anaswa akicheza ‘game’ kwenye simu bungeni mjadala ukiendelea