Mlimbwende (Miss) Karagwe mwaka 2021 Regina Kokurama akiingia uwanjani na kombe la ligi ya Bashungwa Cup mapema kabla ya kuanza kwa mchezo wa fainali ya ligi hiyo uliopigwa Septemba 12 katika uwanja wa Michezo Kayanga Wilayani Karagwe Mkoani Kagera.
Picha ya pamoja kabla ya Mchezo baina ya timu mbili ambazo ni  Bugeni FC na Nyabiyonza FC zilizocheza mchezo wa fainali katika ligi ya Bashungwa Cup 2021.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso na mgeni rasmi katika kilele cha mashindano ya Bashungwa CUP 2021 akizungumza na wakazi wa Mkoa Kagera mapema kabla ya mchezo wa fainali kuanza.
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa ambaye pia ni mbunge wa Jimbo la Karagwe na mwandaaji wa mashindano ya Bashungwa Cup 2021 akizungumza katika kilele cha mashindano hayo.
 
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mchezo wa fainali baina ya timu ya Bugeni FC na Nyabiyonza FC ukiendelea.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso na mgeni rasmi katika kilele cha mashindano ya Bashungwa CUP 2021 akimkabidhi kombe mwakilishi wa timu ya Bugeni FC baada ya kuibuka washindi kwa mikwaju ya pemaliti dhidi ya washindani wao FC katika fainali za Bashungwa Cup 2021.

Rais Samia avunja mwiko wa Mgawanyo wa Majukumu kijinsia
Waziri Aweso aitumia Bashungwa Cup kuwapa mbinu wabunge