Picha: Poulsen Na Shime Waanza Program Ya Kuwavaa Shelisheli
8 years ago
Serengeti Boys wakiendelea na mazoezi uwanja wa karume kujiandaa na mechi ya Juni 26 uwanja wa Taifa dhidi ya Ushelisheli kuwania kufuzu fainali za afrika za vijana chini ya miaka 17 zitakazofanyika mwakani nchini Madagascar.