Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaina na  Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya  Taasisi ya The Investment Climate Facility for Africa (ICF), Neville Isdell na Katikati ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Masula ya Uhusiano wa Kimataifa wa ICF, Ris Mstaafu, Benjamin Mkapa  katika hafla ya kuzindua Ripoti ya Hali ya Hewa Barani Afrika, kwenye  hoteli ya Serena jijini Dar Septemba 1, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na  Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya  Taasisi ya The Investment Climate Facility for Africa (ICF), Neville Isdell na Katikati ni Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Masula ya Uhusiano wa Kimataifa wa ICF, Ris Mstaafu, Benjamin Mkapa katika hafla ya kuzindua Ripoti ya Hali ya Hewa Barani Afrika, kwenye  hoteli ya Serena jijini Dar Septemba 1, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akipokea Kutoka kwa Mwenyekiti Mwenza na Mwenyekiti wa Masula ya Uhusiano wa Kimataifa  wa  Taasisi ya The Investment Climate Facility for Africa (ICF), Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa,  Ripoti ya Hali ya Hewa Barani Afrika, kwenye  hoteli ya Serena jijini Dar Septemba 1, 2016.