Wasanii wa kijiji cha Katumba wilayani Mpanda wakicheza ngoma ya Kasimbo wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadhara kijijini hapo akiwa katika ziara ya mkoa wa Katavi Agosti 21, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (kulia kwake) wakiwapungia wananchi wa Mpanda wakati walipowasili kwenye uwanja wa Kashaulili mjini Mpanda kuhutubia mkutano wa hadhara Agosti21, 2016.
Wananchi wakionyesha mabango wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipowasili kwenye uwanja wa Kashaulili mjini Mpanda kuhutubia mkutano wa hadhara Agosti 21, 2016. Katika hotuba yake Waziri Mkuu alizitolea majibu kero zote zilizoandikwa kwenye mabango hayo akiwahusisha watendaji wa Halmashauri, mkoa na wilaya.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa akiwasalimia wananchi wa Mpanda wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alipohutubia mkutano wa hadahara kwenye uwanja wa Kashaulili mjini Mpanda Agosti 21, 2016 casual dating norge. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Katavi, Meja Jenerali Mstaafu, Raphael Mbuga.