Mwaka uliopita rapper huyo akiwa katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, aliahidi na kusema kuwa mwaka 2017 atafunga ndoa na mpenzi wake huyo.

Kupitia facebook rapper huyo alipost picha akimvalisha pete mchumba wake huyo na kuandika: Asante sana Mungu, leo (Jana) tunaufunga mwaka namna hii na Mke wa Profjize

Gutteres atamani 2017 uwe wa amani duniani
Madawa ya kulevya yamwathiri aliyekuwa mshiriki wa BBA Nando