Kikosi cha timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys tayari kipo mjini Victoria nchini Shelisheli kuwavaa wenyeji katika mechi ya kuwania kucheza michuano ya Afrika.
Katika mechi ya kwanza, Serengeti Boys waliibuka na ushindi wa mabao 3-0 jijini Dar es Salaam na sasa wanatakiwa kupata sare ya aina yoyote au ushindi ikiwezekana.
Kocha Mkuu, Bakari Shime alisema amewaambia wachezaji wake kusahau ushindi uliopita na sasa nguvu na katika mechi ya wikiendi hii.

Vicente Del Bosque Atangaza Kujiuzulu
Video: Mahakama ya Mafisadi rasmi leo. Wabunge watatu wa CHADEMA wafungiwa - Magazeti leo