Mimi na Mume wangu kipenzi miaka mitatu iliyopita ,Nakumbuka kabla ya harusi yetu tulikuwa ni watu wa furaha sana, mume wangu na mimi tulipenda kwenda kwenye sehmu mbalimbali za starehe na huko kote niliambatana na marafiki zangu vipenzi Sauda na Halima.

Tulizoeana sana na sikuwa na shaka kuruhusu nao wazoeane na mume wangu.

Kipindi cha maandalizi ya ndoa yangu na mume wangu, rafiki zangu hawa walikuwa msaada mkubwa sana , kuanzia hatua ya kwanza hadi kwenye shughuli yenyewe, Hakika ni marafiki waliokuwa Zaidi ya ndugu kwangu.

Wiki ya kwanza baada ya kumaliza fungate niliwaalika nyumbani ili kuwashukuru. Nakumbuka siku hiyo mume wangu alikuwepo na tulikunywa sana hadi tukajikuta wote tunalala sebuleni kwangu pamoja na mume wangu.

Baada ya siku hiyo nikaanza kuhisi mabadiliko kutoka kwa mume wangu ambaye hakuwa ananichangamkia tena, Alikuwa anacheka na kufurahi Zaidi akiongea na shoga yangu Halima kuliko mimi.

Moyoni nikajisemea kuanza kulalamika wakati ndoa yenyewe haina hata wiki ni kujidharirisha hivyo nikanyamaza nikiamini ndo uvumilivu wenyewe huo

Miezi ikakatika ndoa haikuwa na Amani, Mume wangu hakunipa haki yangu ya ndoa, alikataa kula chakula change na kibaya Zaidi alikuwa akinipiga tu bila sababu

Niliwashirikisha mashoga zangu wanishauri nao wakaniambia nivumilie au nikitaka basi nimruhusu aoe mke wa pili. Nikachagua kuvumilia huku Amani ikififia nyumbani kwangu. Cha ajabu mume wangu alipokuwa akirudi na kuwakuta mashoga zangu hao nyumbani alifurahi na alikula haswa chakula maana nikiwaalika nyumbani mara nyingi jiko huwa tunamuachia Halima awe anapika.

Nikaona ahueni basi nikawa nawaalika kila siku nyumbani hapo na niliwalazimisha siku moja moja wawe wanalala kwani hawakuwa wameolewa.

Sikujua karibu mwaka mzima nilioteseka na hali ya mume kumbe ni kwasababu ya rafiki yangu Halima ambaye alikuwa akitoka na mume wangu kwasiri

Siku moja wakati nikiwa kwenye mitandao ya kijamii niliona ushuhuda wa mtu akieleza jinsi alivyofanikiwa kumbadilisha tabia ya mumewe ambaye alibadilika ghafla, Nikaamua nifuatilie kisa kile ambacho mtu yule alimtaja Daktari Kiwanga kuwa alimsaidia kutatua shida yake baada ya kumpigia simu kwa namba aliyoikuta kwenye mitandao ya kijamii

Niliichukua ile namba na kumpigia Daktari Kiwanga ambaye naye baada ya kumueleza kisa change haraka akanijibu kuwa mchawi nipo naye karibu yangu na ametumia njia ya chakula kumuwekea vitu mume wangu ndo maana ananiona kama kinyago.

Moyo wangu ulishtuka sana,sikutaka kuamini upesi na dokta Kiwanga akaniambia atanisaidia kunionesha mwizi wangu huyo hivyo nivute subra kwa siku chache

Nakumbuka kesho yake mume wangu akaniambia haendi kazini anaumwa na akaniagiza nikamchukulie laptop yake kazini ili afanyie kazi nyumbani. Nikiwa sina hili wala lile nikajiandaa na kasha kuanza safari kuelekea kazini kwa mume wangu kama alivyoniagiza. Nikiwa njiani daktari Kiwanga akanipigia simu na kuniambia nirudi nyumbani nikamuone mwizi wangu , basi haraka nikarudi na nilipofika tu bila kugonga nikapitiliza hadi sebuleni na kumkuta mume wangu akifanya mapenzi na Halima shoga yangu wa damu

Moyo uliniuma sana niliishiwa hadi nguvu , mume wangu aliponiona alishtuka sana haraka akakimbilia nguo yake ajisitiri huku Halima kwa aibu akikimbilia nje ya nyumba akiwa hajavaa hata nguo.

Lilikuwa ni fumanizi la fedheha lililotibu ndoa yangu na maisha yangu kwa ujumla kwani mume wangu alibadilika na kurudi kama zamani huku akitubu mara kwa mara wakati Halima na shoga yangu Sauda wakiondoka kabisa kwenye maisha yangu

Daktari Kiwanga alinipa dawa ya kumuondolea sumu ya vitu vibaya alivyolishwa na mume wangu Halima bila yeye kujua na alinisaidia kurudisha ndoa yangu iliyoharibiwa na shoga yangu

Dr.kiwanga alinambia kuwa anatatua shida mbalimbali zikiwemo,kupata mpenzi wa ndoto Zako,kurudisha mtu aliyepotea,kushinda michezo ya bahati nasibu,Kupata kazi,kupata cheo kazini nk.

Mpigie Dr.kiwanga kwa +254 769404965  Au tembelea website yao www.kiwangadoctors.com

Tanzania yapaa viwango vya soka duniani
Majadiliano mkataba wa Nchi hodhi yanukia