Msanii wa Bongofleva, Ruby ameupamba usiku wa kumsaka mshindi wa taji la Miss Ilala 2016 ambapo mshiriki namba 13, Julitha Kabete ametangazwa kuwa mshindi. Bofya hapa kuitazama Show ya Ruby

Kocha Mkuu Simba Joseph Omog Aipa Ubingwa Yanga Msimu Huu
Video: Julitha Kabete atangazwa kuwa mshindi Miss Ilala 2016