Mechi kubwa ya watani wa jadi iliyongojwa kwa hamu sana na watazamaji itachezwa mwisho wa wiki hii na mchezaji ghali wa ligi ya Uingereza kwenye historia Rahim Sterling amejipanga kucheza dhidi ya mchezaji mpya Matteo Darmian wa Manchester United.banner_92

Hata kama Manchester United walisafiri kwenda Moscow kucheza mechi yao ya Ligi ya Mabingwa katikati ya wiki – wasingeweza kukabiliana na Manchester City endapo Sergio Aguero na David Silva wasingekuwa majeruhi.

Meneja wa Tottenham aliyepita Harry Redknap anaamini kikosi cha Van Gaal’s kitashinda pambano hili la mechi ya watani wa jadi. Endapo United wataweza kupata goli la mapema basi hakika wataondoka na pointi siku hiyo.

Jumamosi, 24 Octoba 2015

04:30 Jioni – Bayern Munich vs. FC Koln

05:00 Jioni – Aston Villa vs. Swansea

05:00 Jioni – Leicester vs. Crystal Palace

05:00 Jioni – Stoke vs. Watford

05:00 Jioni – West Ham vs. Chelsea

05:00 Jioni – Celta vs. Real Madrid

06:00 Jioni – South Africa vs. New Zealand

07:30 Usiku – Arsenal vs. Everton

09:30 Usiku – Sevilla vs. Getafe

 

Jumapili, 25 October 2015

03:00 Mchana – Sunderland vs. Newcastle

05:05 Jioni – Bournemouth vs. Tottenham

05:05 Jioni – Manchester United vs. Manchester City

07:00 Usiku – Argentina vs. Australia

07:15 Usiku – Liverpool vs. Southampton

08:00 Usiku – Fiorentina vs. Roma

09:00 Usiku – Lazio vs. Torino

10:30 Usiku – Atletico Madrid vs. Valencia

10:30 Usiku – Chievo vs. Napoli

Na macho yote yataelekezwa kwenye shindano la Rugby pindi ambapo South Africa itakapowavaa New Zeland na Argentina kuwavaa Australia kwenye Nusu fainali! Tuna matukio mengi, mashindano yote pamoja na mengi yaliyopangwa kwaajili yako tafadhari usikose chochote!

Kocha Wa Taifa Stars Kurejea Afrika Mashariki
Siku Moja Kabla Ya Kura, Wachambuzi Wa Kimataifa, Tafiti Zinatoa Ushindi Kwa Huyu…