Mimi ni mama wa watoto wanne. Mwanangu wa kwanza ni wa kiume na hivi karibuni ametimiza umri wa miaka 18.

Wengine watatu na wa kike, Kiumri hawajapishana sana kwani wa mwisho ndo kwanza ana miaka 12.

Miaka mitano iliyopita ndoa yangu ilivunjika baada ya kutalikiana na aliyekuwa mzazi mwenzangu.

Nilichoka tabia ya mume wangu ya kubadilisha wanawake kila kukicha na wala haikuchukua muda mrefu mume wangu akoa mwanamke mwingine na kuniacha na jukumu la kulea watoto wote wengine nikianza maisha mapya baada ya kuachika.

Kwakweli maisha yalikuwa magumu sana, haikuwa rahisi kuendeleza maisha waliyozoea watoto wangu haswa kusoma shule za gharama na hata chakula.

Nililazimika kuanza kufanya shughuli mbalimbali ili kukidhi mahitaji ya watoto wangu. Hali ilipokuwa mbaya Zaidi nikaanza kutembea na wanaume tofauti ili kuhakikisha wanangu wanaishi vizuri, Kwakweli ilikuwa ngumu sana lakini nilijitahidi hadi nikazoea.

Nilifanya kwa siri na kwa miaka yote hiyo watoto wangu hawakuwahi kujua chochote.

Mungu saidia watoto wote wakasoma hadi wakamaliza na sasa huyu mkubwa ameanza masomo yake ya chuo kikuu.

Kinachoniumiza ni kuwa watoto wangu wamebadilika sana yaani sijui ni balehe au kiburi. Wamekuwa wakinidharau sana, kuna kipindi wananijibu kwa kebehi na hata majibu ya mkato huku wakimtaja baba yao kuwa ndiye anayewahudumia.

Hali hii inaniumiza sana kwani kwa miaka yote mitano tangu tuachane baba yao hakuwahi hata kupiga simu kuulizia wanaendeleaje.

Iliniumiza zaidi pale nilipotafakari jinsi ninavyohangaika hadi kutembea na wanaume ili niwatunze .

Dharau zilipozidi nikaanza kutafuta ushauri kwa watu kuhusu tabia hizo mbaya za watoto wangu.

Nilishauriwa niwafanyie maombi kanisani hivyo nikafunga na kuwaombea wanangu kwa miezi sita bila mabadiliko yoyote.

Moyoni kiburi chao kilinitesa sana nikaanza kupoteza hamasa ya kuwahangaikia ili wapate kula na ada. Lakini nilipotafakari kuwa hawa ni watoto wangu siwezi kuwaacha nikarudisha moyo nyuma na kuendelea kutafuta hela kwa njia zote halali na haramu.

Siku moja nikiwa naperuzi mtandaoni nikakutana na ushuhuda wa mtu mmoja aliyekuwa na matatizo kama yangu, Mtu huyo aliandika jinsi dokta Kiwanga alivyomsaidia kutatua changamoto yake ilikuwa ikimkabili na familia yake.

Haraka nikachukua namba ya dokta Kiwanga na kumpigia, nikamuelezea shida ya watoto wangu naye akaniambia nifike ofisini kwake ili anisaidie.

Nilipofika alinipa mafuta ya kupaka na kuniambia itanisaidia mimi na kuwafungua watoto kutoka kwenye kifungo cha giza walichofungwa.

Na niliporudi nyumbani kesho yake tu nikaanza kuona mabadiliko makubwa, wanangu walikuja kwa unyenyekevu kuniomba radhi na tangu hapo maisha yetu yakawa na Amani na furaha huku tukisadiana katika kazi mbalimbali za kijasiriamali na mimi kuachana na tabia ya kuuza mwili wangu.

Mpigie sasa dokta Kiwanga kwa simu +254 769404965,au kutuma barua pepe kiwangadoctors@gmail.com , au tembelea kwenye tovuti ya www.kiwangadoctors.comili ujue mengi zaidi kuwahusu.

Vijana wapongezwa kwa uwekezaji
Mama yake Snoop Dogg afariki dunia