Mbunge wa Jimbo la Dimani, Zanzibar, Hafidh Ali Tahir amefariki dunia asubuhi ya leo Novemba 11, 2016 katika Hospitali ya mkoa wa Dodoma. Taarifa hiyo imedhibitishwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai Bungeni Dodoma ambapo amesema kuwa mwili wa marehemu utaagwa leo na kupelekwa Zanzibar kwa mazishi

Trump atoa kauli za kushangaza baada ya kuteta na Obama kwa dakika 90
Breaking News: Mbunge Hafidh Ali wa Jimbo la Dimani afariki dunia