Mchezo kati ya Young African dhidi ya Mtibwa Sugar uliokuwa uchezwe Jumatano ya April 6, 2016 umesogezwa mbele na sasa utachezwa tarehe 16 Aprili 2016 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Jumatano ya Aprili 6, ligi kuu itaendelea kwa michezo miwili tu, Azam FC watakua wenyeji wa Ndanda FC katika uwanja wa Azam Complex Chamazi, huku Majimaji FC wakiwakaribisha Coastal Union kwenye uwanja wa Majimaji Songea.

Kamati Ya Nidhamu Ya TFF Yazishusha Timu Nne Za Ligi Daraja La Kwanza
Makonda awapa Mrisho Mpoto, Banana Zorro dili ya usafi