Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan anazindua Kampeni ya Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO 19, leo Oktoba 10, 2021 katika Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma.

Waziri aonya matumizi ya simu ofisini
Pambano zito: Tyson Fury alivyompiga Wilder kwa KO