Adaiwa kufariki dunia baada ya kuvuliwa hirizi na polisi, Mchungaji akamatwa na meno ya Tembo, Viongozi wa dini nchini wafunguka kuhsu rushwa, Assad: Sina kinyongo, nakwenda kufuga kuku, JPM ampa maagizo mazito CAG mpya, Mbowe ajitetea mahakamani, afufua ‘makaburi’,…Bofya hapa kujua Habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumanne, Novemba 5, 2019.

LIVE BUNGENI: Tazama Maswali na Majibu, Bungeni Dodoma leo Novemba 5, 2019 katika Bunge la 11
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Novemba 5, 2019