Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Simon Sirro leo Juni 15-2016 amekutana na waandishi wa habari na kuelezea sakata la Kiongozi wa ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe kuhusu kuzuia Kongamano lililokuwa limeandaliwa na Vyama pinzani

Prof. Ndalichako aingia ndani ya bodi ya mikopo.
Mvua kubwa imenyesha na mafuriko kufanya uharibifu mkubwa China