Bomu mkono lilivyoua wanafunzi 5 na kujeruhi 43, ni wadarasa la kwanza waliokuwa kwenye mtihani, mwalimu wao taabani, Kashfa nzito vigogo sukari, Siri mabilioni hewa yafichuka, ni yale ya Kaswahili aliyoyaibua JPM…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Novemba 9, 2017. Tazama video

Majaliwa ataka vyombo vya dola vipewe muda wa uchunguzi
Profesa Tibaijuka atangaza kung’atuka Ubunge…