CCM yashusha rungu zito, ni kwa wale waliokiuka kanuni na taratibu, Aga Khan amkubali Rais Magufuli, Ponda apewa siku tatu kujisalimisha Polisi, Dhahabu ya mamilioni ilivyonaswa bandarini, yashtukiwa ikitoroshwa usiku kwa mbinu mpya ya kuificha kwenye maboksi yaliyojaa zabibu…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Oktoba 13, 2017. Tazama video

George Weah aongoza kwa kura za awali Liberia
Trump aitaka UNESCO kuacha ubaguzi