Fatma Karume arusha Kombora Lugola ajibu, CCM mambo moto moto makosa ya barabarani balaa watakaovunja sheria sasa kulipa hadi sh.milioni 34, vigogo wa Chadema wang’oka, Polepole azindua kampeni Kilimanjaro awaonya watendaji wa walaghai. Marekani yaguswa ujio wa Dreamliner, Wavamizi hifadhi wapewa miezi 3, kutimuliwa…,Bofya hapa kutazama habari kubwa katika magazeti ya leo Julai 21, 2018.

Chadema yasikitishwa Mbowe kutohudhuria uzinduzi wa kampeni
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Julai 21, 2018