Gongo yaua watu 19 Dar, pombe hiyo imetengenezwa kwa mchanganyiko wa spiriti, jiki, sarafu za senti tano na kumi, Siku 30 moto CCM, Ukawa, Makombora ya kina Lowassa, Polepole sasa ruksa mikoa 19, Wagombea wenye ‘harufu’ ya Lowassa watoswa CCM, Fuso lingine lilivyoua watu 19…, Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Oktoba 5, 2017. Tazama video

Mpenzi wa muuaji wa Las Vegas afunguka, 'nilipata wasiwasi'
Halep amtupa nje Sharapova katika China Open