Hakimu aficha rushwa kwenye dawa ya meno, Talaka za sms zakithiri Zanzibar, JPM amtwisha DPP zigo kupunguza mahabusu, Viongozi, wanafunzi wa UDSM watimuliwa, Ni Mbowe tena hadi 2024, JPM atoa msimamo waishio mabondeni, CHADEMA yaja upya, Kesi ya Kabendera yaahirishwa, Mvua yaondoa barabarani mabasi 20 ya mwendokasi,…Bofya kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Desemba 19, 2019.[youtube https://www.youtube.com/watch?v=-qHeyUYpfYk]

Ushirikina Tabora: Polisi yataka ushirikiano, mwisho wa mwaka
Mbowe, Lissu waibuka kidedea kwenye Uchaguzi Chadema