Watoto wanaozaliwa kabla ya muda hufariki kutokana na ukosefu wa huduma wa mashine ya kupumulia, mashine joto na vifaa vingine

Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekouture itaanza kutoa huduma kwa watoto njiti baada ya kupata msaada wa vifaa hivyo kutoka Doris Mollel Foundation

 

Ngamia mwenye hasira amuua na kumtafuna mmiliki wake, akerwa na tabia hii
Israel Nkongo Kusimamia Sheria 17 Za Mchezo Wa Fainali Ya ASFC