Wakali wa Bongoflevani GentrIez, Belle 9 naYoung Dee wametuandalia kichupa cha ngoma yao mpya inayokwenda kwa jina la ‘Chapaa’  ikiongozwa na  director Hanscana kutoka Wanene Entertaiment. Chapaa ni ngoma ya kwake GentrIez akiwashirikisha Belle 9 naYoung Dee  #USIPITWE

Waziri Nchemba atoa siku 14 kuwakamata wauza ‘Unga’
Joseph Msukuma ang’aka kulipwa na Lowassa