JPM aibua kashfa ya ununuzi wa rada, IGP Sirro hakuna aliye salama,  Mjaliwa atumbua watumishi 8 ulanga ubadhilifu bilioni 3, Serikali yachukizwa mgongano DC, DED, Maofisa tisa uhamiaji kortini tuhuma nzito, Magufuli Tundu Lissu jino kwa jino, Mbowe, na wenzake kupangua hoja kesi ya uchochezi, Askofu Ruwa’ichi atoka ICU, Nchi SADC kuwa na satelait yake, kikokotoo cha mafao chaibua mambo mapya,..Bofya hapa kutazama habari zilizopewa kipaumbele kwenye magazeti ya leo Septemba 17, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=9EMg85nF3C4]

PSG kuivaa Real Madrid bila Mbappe, Cavani
Tanzania yachaguliwa kati ya nchi 10 zitazonufaika na Euro bilioni 44 za EU