Kauli za wabunge mwiba kwa Dk. Mpango, asema anamwachia Mungu kwa aliyemtaka asiende mikoa ya kusini, apigilia msumari Serikali kutopeleka fedha zilizokuwa zikidaiwa na kina Nape, Mawaziri nao ndani wadaiwa Sugu JWTZ, wamo pia wastaafu, wabunge, ma-RC, marehemu, Bajeti yapita kwa kishindo Vigogo Dawa za kulevya wamekimbia nchi, Serikali yapigilia msumari fedha za ushuru wa korosho, Tanzania Kinara utekelezaji matakwa ya UN, Serikali yasitisha ajira za vijana JKT, Mume mke wajilipua kwa moto chumbani…,Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Juni 27, 2018.

Rais wa Zimbabwe ataja kundi la Mke wa Mugabe kutaka kumuua
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Juni 27, 2018