Kiongozi Chadema anyongwa, ni baada ya kutekwa na watu wasiojulikana na kutupwa ‘Coco Beach’, Sombasomba nyingine wauza ‘unga’ inakuja, ni nje ya watuhumiwa 800 waliotiwa mbaroni tayari, Serikali kuyatolea mwongozo matamko ya makonda na Mnyeti…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Februari 14, 2018

Video: Maalim Seif ana dharau ndio maana tumefikia hapa -Sakaya
Vifaranga 5000 kutoka Kenya vyateketezwa