Mbowe: Kuna njama za kutupa kesi ya Akwilina, wahojiwa Polisi kwa saa 6, kurejeshwa Machi 5, Ajirusha baharini kina kirefu safarini Zanzibar, Kina Fatma Karume kuongoza kesi ya kikatiba, ni kati ya kumi zilizofunguliwa na wanasheria, watetezi haki za binaadam…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Februari 28, 2018.

Video: Bao la mkono lamshtua Fatma Karume, sasa akimbilia mahakamani
Video: Mtatiro adai kazi ya polisi si kupiga risasi na kuuwa