Lissu kufanyiwa upasuaji wa mwisho Juni 4, CCM yakanusha katibu wake Kinana kujiuzulu, Presha juu CCM, Mpogolo, Dk. Bashiru na Prof. Kitila watajwa ukatibu mkuu, Mwalimu adaiwa kumbaka mwanafunzi wake, Kinana atinga Ikulu ateta na Rais Magufuli, Mwili wa mbunge CHADEMA kuagwa bungeni leo, Msajili abariki mkutano wa Prof.Lipumba kumng’oa Maalim Seif…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Jumatatu Mei 28, 2108.

Ashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kuuza dawa za kulevya
Mohamed Salah: Nitakua sehemu ya kikosi cha Misri