Klabu ya Soka ya Real Madrid imefanikiwa kutwaa Kombe la UEFA Champions League, kwa mara ya 3 mfululizo baada ya kuicharaza Liverpool goli 3-1

Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane anakuwa kocha wa kwanza kushinda kombe hilo mara tatu mfulizo huku Mchezaji Gareth Bale akiwa mchezaji wa kwanza kutoka benchi na kufunga magoli mawili.

 

 

Video: Kinana ajiuzulu, majina wezi wa CCM sasa yaanza kuvuja
Magazeti ya Tanzania leo Mei 27, 2018