Magufuli atumbua Bodi TCU kwa kudahili ‘vihiyo’. Â Yaliyomkuta Kitwanga kabla ya kulelewa, Aliwekewa Makachero wakufatilia nyendo zake Dar, Dodoma na Morogoro. Â Bunge lakatisha tamaa wananchi. Â Majaji 3 kuwasikiliza akina Kitilya. Â Wazazi, mdogo wa Mbunge waliwa na Mamba Ziwani. Polisi yapiga marufuku Wanawake kuitwa Chura.