Magufuli aanika utajiri Tanzania, akiba ya fedha iliyopo yaweka historia, ikigawanywa kila mtanzania hadi vichanga watapata watapata mgawo 227,000, Mbowe azidiwa, apelekwa Afrika Kusini kwa matibabu, Mke wa Mchungaji ajinyonga kanisani, Dar yakosa mgawo makontena ya Makonda…., Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Novemba 2, 2018.

Waislamu waandamana baada ya Mkristo kuachiwa huru
JPM hajamtuma RC, wala DC kutumia mamlaka vibaya- Makonda