Majaliwa awasha moto, ataka jibu, Nyoka wa maajabu afa na mtu wake, Auawa katika ugomvi wa soda… hizo ni moja ya habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya Tanzania leo Desemba 28, 2016, Ungana na Dar24 Magazeti kila siku asubuhi kufahamu yote yaliyojili kwenye magazeti ya Tanzania, ambapo Chris Kika kwenye video hapa amekusomea habari zote kubwa za leo #USIPITWE

Hatima ya Lema kujulikana leo
T.I na Tiny wapigana chini, Mayweather atajwa kuwa chanzo