Leo Septemba 1, 2016 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda ameshiriki katika zoezi la kufanya usafi  wa jiji katika kuadhimisha miaka 52 ya JWTZ, Makonda pia ametangaza kuwa Oktoba mosi itakua ni siku ya kupanda miti. Bofya hapa kutazama video

UKUTA ‘kukutwa tena’, Makonda atangaza Majeshi kupanda miti Oktoba Mosi
Geita Gold Mine (GGM) Yachangia Millioni 44 Kwaajiri Ya Madawati Mkoani Geita