Baada ya Wabunge wa upinzani kuamua kutoka nje ya bunge kwa style ya kuziba midomo. Wkionyesha mwendelezo wa kutokuwa na imani na naibu spika Dk. Tulia Ackson

Hii ikiwa ni mara ya tatu mfululizo mara baada ya kutangaza kuwa hawatahudhuria vikao vyote vinavyoongozwa na Dkt Tulia.

Wakiwa nje, Mbunge wa Vunjo (NCCR-Mageuzi), James Mbatia baada ya kutoka bungeni kwa staili ya aina yake akaongea haya

“Hii ni ishara ya kuonyesha hasira zetu, ni ishara yakuonyesha hatutokubali, ni ishara ya kuonyesha kwamba wakituzima midomo humu ndani nje kwa watanzania hawatatuzima midomo” – James Mbatia

 

Wabunge Upinzani watoka Bungeni wakiwa wamejifunga plasta mdomoni 

Video: Utapenda Raila Odinga alivyosakata ‘Zigo Remix’ ya AY na kuipamba
Video: Maneno ya Mbunge Mbatia baada ya wabunge upinzani kutoka Bungeni