Mbowe alia siasa mazishi ya Bilago, Dk. Bashiru arithi mikoba ya Kinana, Neema yaja kwa watu wenye makazi holela, Hati ya makazi sasa kutolewa kielektroniki, Waziri Lukuvi aja na vigingi vitano ardhi, Mahakama yamzuia msajili kutoa ruzuku kwa Lipumba, Mjadala uenyekiti wa Freeman Mbowe wafunika uchaguzi wa Chadema, Wateja Pride waandamana kudai fedha…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika magazeti ya leo Mei 30, 2018.

Manuel Neuer kucheza tena wiki hii
Mahakama yalitupa shauri la kupinga kanuni za maudhui mtandaoni