Siku 15 za mateso na maumivu ya Lissu, Acacia wakubali yaishe kwa JPM, Esma: Nipo tayari kuwalea watoto wa Zari na Hamisa, Bunge lalipa fedha za matibabu ya Lissu, Mbowe: Haiwezekani Lissu kuondolewa Kenya….Hizo ni moja ya habari kubwa zilizopewa kipaumbele katika magazeti ya Tanzania leo Septemba 23, 2017. Tazama video.

Messi, Ronaldo, Neymar kuchuana mchezaji bora wa FIFA
Serikali kuchochea maendeleo kupitia mawasiliano