Mbowe augua ghafla mahabusu, CAG atoa msimamo, Lissu aitwisha serikali zigo la usalama wake, Kikosi maalumu kilichozima shambulizi la kigaidi Kenya, Jinsi wazazi wanavyowadunga watoto sindano za kuzuia mimba,
CAG aibuka, Kitoweo cha samaki chaadimika Tanga, Zitto ampasua kichwa spika, Serikali yawafutia adhabu wavuvi waliokamatwa 2019…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Januari 18, 2019.

Ripoti: wanawake walalama ukata wa wanaume waoaji
LIVE: Rais Magufuli akikabidhiwa mfumo mpya wa kusimamia mawasiliano ya simu (TTMS)