Mbunge wa Jimbo la Ulanga, Goodluck Mlinga amepata nafasi ya kusimama bungeni ambapo ameitaka Serikali kufanya mpango wa dharura ili kutengeneza barabara za vijijini . Akijibu swali hilo Naibu Waziri wa TAMISEMI, Suleiman Jaffo amesema Serikali itaendelea kuweka mkazo wananchi wapate huduma kwani ni mpango wa Serikali kuhakikisha takribani miaka 5 inayokuja mabadiliko katika miundombinu inaonekana. Tazama hapa Video

Ummy Mwalimu Alitaka Baraza La Famasia Nchini Kuwafutia Usajili Wafamasia Wanaokiuka Kanuni na Taratibu za Baraza Hilo
Serikali kununua gari ya wagonjwa yenye dhamani ya sh. mil. 200 hospitali ya Muheza, Tanga