Mbunge Kenya mbaroni kwa kuwachokonoa watanzania, Treni kubwa kubeba malori 500 rasmi, Waziri wa fedha apewa dhamana kuwatambua wafanya biashara, TFDA mguu ndani mguu nje, Mgufuli akiendelea kuungwa mkono nchi itapaa, Mamlaka ya chakula na dawa kufutwa, Mtoto wa miaka tisa atoa ushahidi alivyobakwa, Serikali ya kenya yamkana mbunge Jaguar…,Bofya hapa kutazama habari zilizopewa kipaumbele kwenye kurasa za mbele za leo Juni 27, 2019.

[youtube https://www.youtube.com/watch?v=ijxtg8mA5Ac]

Wabunge Kenya watofautiana kuhusu matamshi ya Jaguar
Habari kubwa katika Magazeti ya Tanzania leo Juni 27, 2019