Bunge la 11 limeendelea kuijadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii tangu ilivyoombwa na Waziri Jumanne Maghembe kiasi cha Sh. 135,797,787,000 .
Na Wabunge mbalimbali walipata nafasi ya kuchangia maoni yao, huy hapa ni Joseph Haule Mbunge wa Mikumi maarufu Profesa Jay amesimama na kusema
HII KUTOKA KWA MBUNGE DOTO BITEKO ILIKUPITA? ITAZAME HAPA
Jambo hili lisipo pata majibu leo Mh. Waziri nakwambia hapahapa nakufa nawewe – Doto Biteko