Mimba shuleni zamtesa Magufuli, vigogo 13 warudi uraiani, CHADEMA yamjibu msajili wa vyama, Wambura, Tenga wa kwanza msamaha JPM, Hoja sita za Chadema kwa msajili, Maskini wote Tanzania kunufaika noti za Tasaf, Mikakati ya CCM kumchomoa Mbowe yavuja, Wizara kuongeza mapato sekta ya uvuvi, Mkurugenzi wa usalama mstaafu afariki Dunia,.. Bofya hapa kutazama Habari zilizopewa uzito katika Magazeti ya leo Jumanne Oktoba 8. 2019.
[youtube https://www.youtube.com/watch?v=EkkAHQLckrA]

Spurs, Ufaransa kumkosa Hugo Lloris hadi 2020
Mama na mwanaye waliozama feri, siku 9 bado hawajapatikana