Mjane aliyemlilia Magufuli afungwa jela miezi mitatu, Chadema yaita kikao wabunge na madiwani, bi baada ya kamati kuu kukutana kujadili akina Mbowe, waomba jumuiya ya kimataifa kuingilia, Wanafunzi waliotaka Mwigulu na Ndalichako wajiuzulu yawarudi…, Bofya kutazama habari zote zilizopewa uzito katika magazeti ya Tanzania leo Machi 29, 2018.

Mahakama yatishia kuwafunga IGP, Waziri Mambo ya Ndani
Miguna ajikuta yuko Dubai, aomba msaada wa matibabu