Aliyekuwa Makamu wa Rais wa Zimbabwe, Emmerson Mnangagwa ameapishwa rasmi kuwa Rais wa Zimbabwe baada ya aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Robert Mugabe kujiuzulu.

Ndalichako ashikilia kidete ujenzi nyumba za walimu
Tanzania yaanguka nafasi sita viwango vya soka duniani