Mo Dewji afunguka, Takukuru yatia mguu Kariakoo, Minada ya korosho yasitishwa bosi Bodi ang’olewa, Kigogo aliyetafuna bil.2 Pride akimbilia Marekani, Wema Sepetu aomba radhi, afungiwa na Bodi ya filamu, CAG wa zamani aeleza alivyoumiza mawaziri, Ofisa chuo kikuu atoweka na mamilioni ya wanafunzi…,Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito katika kurasa za mbele za magazeti ya leo Oktoba 27, 2018.

Kachero wa FBI anaswa kwa tuhuma za kuhusika kwa vilipuzi 12 Marekani
Mchumba wa mwandishi wa habari agomea mwaliko wa Trump