MSHTUKO ajali nyingine mbaya ikiua watumishi, ni siku moja baada ya ile iliyoua watano papo hapo Singida, SAKATA LA MO: Polisi wamhoji January kwa dakika 30, Lema naye ahojiwa Arusha, Msumbiji wazungumzia gari lililohusika kwenye utekaji, Utata waibuka mabasi mapya ya mwendo kasi, Ndalichako aagiza waliofutiwa usajili UDSM kurejeshwa…, Bofya hapa kutazama habari zilizopewa uzito kwenye kurasa za mbele za magazeti ya leo Oktoba 23, 2018.

Ripoti: Hakuna ‘makazi duni’ Tanzania, ni mpangilio
Video: Daraja refu kuliko yote duniani lazinduliwa China